Kwa wale wenzangu na mimi ambao Computer science ni sehemu ya maisha yao,I.C.T tunaidadavua hapa usiogope,usikate tamaa hapa hakuna mashine inayokufa,Natoa ushauri na maelekezo hewani wasiliana nami kama una tatizo lolote la computer nakupa maelezo ya kweli na fasaha,Pia full software wasiliana nami kwa mail,namba ya simu,au blog hii.Nipo hewani masaa 24 nitafute kikusaidie kiuhakika kwa tatizo lako ambalo unaliona kuwa sugu.hapo.Pia pata taarifa mpya na ingizo za teknolojia mpya katika nyanja za software na Hardware.hapa ni computer toleo jipya na aina mpya ya software,Maswali yote yatajibiwa.
Let me hear from you mr john so ican help you
Comments
Post a Comment
solate forever