Jumaiman@gmail.com : Dr.Xander,habari mkuu ?samahani kaka nina Flash disk yangu gb 16 haingizi data wala haitoi nikijaribu kuifomati inaniandikia write protected nimekwama bro nisaidie. Dr.Xander : Niko poa J hujasema uko wapi.Ok sio kesi,Wengi husumbuliwa na tatizo hili pasi na ufumbuzi,Juma angalia hiyo flash yako ubavuni mwaka kama kuna "buton" kama ipo jaribu kuisogeza juu chini chomoa na chomeka tena.Kama bado au haina Button ubavuni tafadhali fuata hatua zifuatazo 1.Zima computer yako au laptop 2.Chomeka flash yako katika computer au Laptop 3.Washa computer yako au lapto...